Wakenya wataka serikali kushughulikia tatizo la ukame
【斯瓦西里语】肯尼亚人希望政府能够治理干旱问题

Wakazi wa maeneo ya Kaskazini Magharibi mwa Kenya bado wanakabiliwa na baa la njaa wengi wao wanaendelea kuomba msaada wa wahisani kuokoa maisha yao huku zaidi ya wakazi 11 wakiripotiwa kufariki kutokana na ukosefu wa chakula.
肯尼亚西北部的居民们仍然在忍受着饥荒带来的痛苦,他们当中的很多人恳求其它地方的人施舍给他们食物来挽救他们的生命。据报告,现在已经有超过11个肯尼亚人死于食物匮乏。
Mwanahabari wa BBC Roncliffe Odit amezungumza na Gavana wa Turkana Josphat Nanok kuhusu ukubwa wa baa hilo.
英国广播公司记者龙克里夫.奥迪特采访了肯尼亚图尔卡纳省的省长约瑟法特.纳诺克,与之讨论了这场旱灾的规模等内容。
Kumekua na maoni mbalimbali kuhusu hali ilivyo Turkana, baadhi wakiona kuwa kutegemea misaada hakusaidii, isipokua Serikali ifanye jitihada kuwasadia raia kupata njia nzuri ya kukomesha baa kama hilo kujitokeza siku za usoni.
关于图尔卡纳省的形势,很多人发表了自己的各种各样的看法。一些人认为:“仅凭依赖别人的救济并不能从根本上解决眼下的问题,除非肯尼亚当局能够努力帮助人民找到一个好方法来结束这样的日益恶化的苦难。” 
|